10 Lakini watu hawa wanayatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayafahamu.+ Na kuhusu mambo yote wanayoyafahamu kiasili kama wanyama wasio na akili,+ wanaendelea kujipotosha wenyewe.
10 Lakini watu hawa wanatukana mambo yote ambayo kwa kweli hawayajui;+ lakini mambo yote ambayo wanayaelewa kiasili kama vile wanyama wasiofikiri,+ wanaendelea kujiharibu+ katika mambo hayo.