15 Na wafalme wa dunia, maofisa wa cheo cha juu, viongozi wa kijeshi, matajiri, wenye nguvu, kila mtumwa, na kila mtu aliye huru wakajificha katika mapango na katika miamba ya milima.+
15 Na wafalme wa dunia na wenye daraja la juu na viongozi wa kijeshi na matajiri na wenye nguvu na kila mtumwa na kila mtu huru wakajificha katika mapango na katika miamba+ ya milima.