15 Ndiyo sababu wako mbele ya kile kiti cha ufalme cha Mungu, nao wanamtolea utumishi mtakatifu mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi kwenye kiti cha ufalme+ atatandaza hema lake juu yao.+
15 Ndiyo sababu wako mbele+ ya kile kiti cha ufalme cha Mungu; nao wanamtolea utumishi mtakatifu+ mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi juu ya kiti cha ufalme+ atatandaza hema+ lake juu yao.