13 Nami nikaona na kusikia tai akiruka katikati ya mbingu akisema kwa sauti kubwa: “Ole, ole, ole+ wao wanaokaa duniani kwa sababu ya milio mingine ya tarumbeta za wale malaika watatu walio karibu kuzipiga tarumbeta zao!”+
13 Nami nikaona, nami nikasikia tai+ akiruka katikati ya mbingu+ akisema kwa sauti kubwa: “Ole, ole, ole+ wao wanaokaa duniani kwa sababu ya mipigo mingine ya tarumbeta ya wale malaika watatu walio karibu kuzipiga tarumbeta zao!”+