7 Lakini katika siku ambazo yule malaika wa saba+ atakuwa karibu kuipiga tarumbeta yake,+ ile siri takatifu+ ambayo Mungu aliwatangazia ikiwa habari njema watumwa wake manabii+ itamalizika.”
7 bali katika siku za kupiga kwa yule malaika wa saba,+ akiwa karibu kuipiga tarumbeta yake,+ ile siri takatifu+ ya Mungu kulingana na habari njema aliyowatangazia watumwa wake mwenyewe manabii+ itamalizika.”