Nami nikamwona mnyama wa mwituni+ akipanda kutoka baharini,+ naye alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, na mataji kumi* juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.
Nami nikaona mnyama-mwitu+ akipanda kutoka katika bahari,+ mwenye pembe kumi+ na vichwa saba,+ na mataji kumi juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.+