10 Ikiwa yeyote amekusudiwa kwenda utekwani, ataenda utekwani. Ikiwa yeyote ataua* kwa upanga, naye lazima auawe kwa upanga.+ Hapa ndipo watakatifu+ wanahitaji uvumilivu+ na imani.+
10 Ikiwa yeyote amekusudiwa kwenda utekwani, yeye huenda zake utekwani.+ Ikiwa yeyote ataua kwa upanga, yeye lazima atauawa kwa upanga.+ Hapa ndipo panapomaanisha uvumilivu+ na imani+ ya watakatifu.+