12 Anatumia mamlaka yote ya yule mnyama wa kwanza wa mwituni+ aliye machoni pake. Naye huifanya dunia na wale wanaokaa duniani wamwabudu yule mnyama wa kwanza wa mwituni, ambaye jeraha lake la kifo lilipona.+
12 Naye anatumia mamlaka yote ya yule mnyama-mwitu+ wa kwanza machoni pake. Naye huifanya dunia na wale wanaokaa ndani yake wamwabudu yule mnyama-mwitu wa kwanza, ambaye pigo lake la kifo lilipona.+