14 Naye huwapotosha wale wanaokaa duniani, kwa sababu ya ishara alizoruhusiwa kufanya machoni pa yule mnyama wa mwituni, huku akiwaambia wale wanaokaa duniani watengeneze sanamu+ ya yule mnyama wa mwituni aliyekuwa na pigo la upanga lakini bado akabaki hai.+