3 Malaika wa pili akamwaga bakuli lake ndani ya bahari.+ Nayo ikawa damu+ kama ya mwanadamu aliyekufa, na kila kiumbe aliye hai akafa,* ndiyo, vitu vilivyo ndani ya bahari.+
3 Na yule wa pili+ akamwaga bakuli lake ndani ya bahari.+ Nayo ikawa damu+ kama ya mwanadamu aliyekufa, na kila nafsi iliyo hai ikafa, ndiyo, vitu vilivyo ndani ya bahari.+