14 Kwa kweli, hayo ni maneno yanayoongozwa na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme wa dunia nzima inayokaliwa, ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.+
14 Hayo, kwa kweli, ni maneno yanayoongozwa+ na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme+ wa dunia nzima inayokaliwa,+ ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya ile siku kuu+ ya Mungu Mweza-Yote.+