-
Ufunuo 17:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Mnyama wa mwituni uliyemwona alikuwako, lakini hayuko, na bado yuko karibu kupanda kutoka katika shimo refu lisilo na mwisho,*+ naye ataenda kwenye uharibifu. Na watu wanaokaa duniani ambao majina yao hayajaandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha uzima+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu watashangaa watakapoona jinsi yule mnyama wa mwituni alivyokuwako, lakini hayuko, na bado atakuwapo.
-
-
Ufunuo 17:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Mnyama-mwitu uliyemwona alikuwako,+ lakini hayuko, na bado yuko karibu kupanda kutoka katika abiso,+ naye ataenda kwenye uharibifu. Na watakapoona jinsi yule mnyama-mwitu alivyokuwako, lakini hayuko, na bado atakuwapo, wale wanaokaa duniani watamsifu kwa mshangao, lakini majina yao hayakuandikwa kwenye kile kitabu cha kukunjwa cha uzima+ tangu kuwekwa kwa msingi wa ulimwengu.+
-