6 Mlipeni kama alivyowatendea wengine,+ ndiyo, mlipeni mara mbili kwa yale aliyotenda;+ katika kikombe+ alichochanganya, mtilieni mchanganyiko mara mbili.+
6 Mlipeni sawa na vile yeye mwenyewe alivyolipa,+ na mtendeeni mara mbili ya hivyo, ndiyo, mara mbili ya hesabu ya mambo aliyoyatenda;+ katika kikombe+ ambacho ndani yake alitia mchanganyiko mtilieni+ mchanganyiko mara mbili+ ya hivyo.