17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akaita kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege wote wanaoruka katikati ya mbingu:* “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,+
17 Nikaona pia malaika amesimama katika jua, naye akapaaza kilio kwa sauti kubwa na kuwaambia ndege+ wote wanaoruka katikati ya mbingu: “Njooni hapa, mkusanyike pamoja kwenye mlo mkubwa wa jioni wa Mungu,