Mwanzo 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Wanaume hawa wangependa tuishi nao kwa amani. Waruhusuni wakae nchini na kufanya biashara humu, kwa maana nchi yetu ni kubwa vya kutosha. Tunaweza kuwaoa mabinti wao, nasi tunaweza kuwapa mabinti wetu.+
21 “Wanaume hawa wangependa tuishi nao kwa amani. Waruhusuni wakae nchini na kufanya biashara humu, kwa maana nchi yetu ni kubwa vya kutosha. Tunaweza kuwaoa mabinti wao, nasi tunaweza kuwapa mabinti wetu.+