Mwanzo 39:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi bwana wa Yosefu akamchukua Yosefu na kumtupa gerezani, mahali ambapo wafungwa wa mfalme walifungwa, akabaki humo gerezani.+ Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:20 Mnara wa Mlinzi,11/1/2014, kur. 14-15
20 Basi bwana wa Yosefu akamchukua Yosefu na kumtupa gerezani, mahali ambapo wafungwa wa mfalme walifungwa, akabaki humo gerezani.+