Mwanzo 41:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wakusanye chakula chote katika miaka hiyo mizuri inayokuja, nao waweke nafaka katika maghala chini ya mamlaka yako Farao, na chakula hicho kihifadhiwe na kutunzwa katika majiji.+
35 Nao wakusanye chakula chote katika miaka hiyo mizuri inayokuja, nao waweke nafaka katika maghala chini ya mamlaka yako Farao, na chakula hicho kihifadhiwe na kutunzwa katika majiji.+