Mwanzo 41:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Yosefu alikuwa na umri wa miaka 30+ alipoanza kumtumikia* Farao mfalme wa Misri. Kisha Yosefu akaondoka mbele ya Farao na kutembea katika nchi yote ya Misri. Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 41:46 Mnara wa Mlinzi,5/1/1987, uku. 14
46 Yosefu alikuwa na umri wa miaka 30+ alipoanza kumtumikia* Farao mfalme wa Misri. Kisha Yosefu akaondoka mbele ya Farao na kutembea katika nchi yote ya Misri.