Mwanzo 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Baada ya hayo, Yosefu akaambiwa: “Tazama, baba yako anadhoofika.” Basi akawachukua wanawe wawili, Manase na Efraimu, na kwenda nao.+
48 Baada ya hayo, Yosefu akaambiwa: “Tazama, baba yako anadhoofika.” Basi akawachukua wanawe wawili, Manase na Efraimu, na kwenda nao.+