Mwanzo 48:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Halafu Yosefu akawachukua wote wawili na kuwaleta karibu na Yakobo; alimchukua Efraimu+ kwa mkono wake wa kulia na kumweka upande wa kushoto wa Israeli, na Manase+ kwa mkono wake wa kushoto na kumweka upande wa kulia wa Israeli.
13 Halafu Yosefu akawachukua wote wawili na kuwaleta karibu na Yakobo; alimchukua Efraimu+ kwa mkono wake wa kulia na kumweka upande wa kushoto wa Israeli, na Manase+ kwa mkono wake wa kushoto na kumweka upande wa kulia wa Israeli.