Mwanzo 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mpaka sasa sina mtoto na yule atakayerithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?” Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:2 Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 125
2 Abramu akasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, utanipa nini, kwa sababu mpaka sasa sina mtoto na yule atakayerithi nyumba yangu ni Eliezeri,+ mtu wa Damasko?”