Mwanzo 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akainua macho yake na kuwaona wanaume watatu wakiwa wamesimama umbali fulani kutoka kwake.+ Alipowaona, alikimbia kutoka kwenye mlango wa hema na kwenda kuwapokea, naye akainama mpaka chini. Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 18:2 w96 10/1 11-12 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:2 Mnara wa Mlinzi,10/1/1996, kur. 11-12 “Kila Andiko,” uku. 18
2 Akainua macho yake na kuwaona wanaume watatu wakiwa wamesimama umbali fulani kutoka kwake.+ Alipowaona, alikimbia kutoka kwenye mlango wa hema na kwenda kuwapokea, naye akainama mpaka chini.