6 “Tusikilize, bwana wetu. Wewe ni kiongozi aliyechaguliwa na Mungu miongoni mwetu.+ Unaweza kuwazika watu wako waliokufa mahali bora zaidi katika maeneo yetu ya kuzikia. Hakuna yeyote kati yetu atakayekunyima mahali pa kuwazika watu wako waliokufa.”