Mwanzo 24:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na Yehova amembariki sana bwana wangu, na amemtajirisha sana kwa kumpa kondoo na ng’ombe, fedha na dhahabu, watumishi wa kiume na wa kike, na ngamia na punda.+
35 Na Yehova amembariki sana bwana wangu, na amemtajirisha sana kwa kumpa kondoo na ng’ombe, fedha na dhahabu, watumishi wa kiume na wa kike, na ngamia na punda.+