Mwanzo 24:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Baada ya hayo nikamuuliza, ‘Wewe ni binti ya nani?’ akajibu, ‘Binti ya Bethueli mwana wa Nahori, ambaye Milka alimzalia.’ Kwa hiyo nikamvisha pete puani na bangili mikononi mwake.+
47 Baada ya hayo nikamuuliza, ‘Wewe ni binti ya nani?’ akajibu, ‘Binti ya Bethueli mwana wa Nahori, ambaye Milka alimzalia.’ Kwa hiyo nikamvisha pete puani na bangili mikononi mwake.+