Mwanzo 24:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Na sasa niambieni ikiwa mnataka kumtendea bwana wangu kwa upendo mshikamanifu na uaminifu; lakini ikiwa sivyo, niambieni, ili nijue jambo la kufanya.”*+
49 Na sasa niambieni ikiwa mnataka kumtendea bwana wangu kwa upendo mshikamanifu na uaminifu; lakini ikiwa sivyo, niambieni, ili nijue jambo la kufanya.”*+