Mwanzo 26:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Isaka akavichimbua visima vilivyokuwa vimechimbwa katika siku za Abrahamu baba yake lakini ambavyo Wafilisti walivifukia baada ya Abrahamu kufa,+ akavipa majina yaleyale ambayo baba yake alivipa.+
18 Na Isaka akavichimbua visima vilivyokuwa vimechimbwa katika siku za Abrahamu baba yake lakini ambavyo Wafilisti walivifukia baada ya Abrahamu kufa,+ akavipa majina yaleyale ambayo baba yake alivipa.+