Mwanzo 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baadaye akaondoka huko na kuchimba kisima kingine, lakini hawakukigombania. Basi akakiita Rehobothi* na kusema: “Ni kwa sababu sasa Yehova ametupa nafasi ya kutosha naye ametufanya tuongezeke nchini.”+
22 Baadaye akaondoka huko na kuchimba kisima kingine, lakini hawakukigombania. Basi akakiita Rehobothi* na kusema: “Ni kwa sababu sasa Yehova ametupa nafasi ya kutosha naye ametufanya tuongezeke nchini.”+