Mwanzo 28:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya muda akafika mahali fulani, akajitayarisha kulala hapo kwa sababu jua lilikuwa limetua. Kwa hiyo akachukua jiwe moja la mahali pale na kuliweka chini ili apumzishe kichwa chake juu yake, akalala hapo.+
11 Baada ya muda akafika mahali fulani, akajitayarisha kulala hapo kwa sababu jua lilikuwa limetua. Kwa hiyo akachukua jiwe moja la mahali pale na kuliweka chini ili apumzishe kichwa chake juu yake, akalala hapo.+