Mwanzo 30:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Lakini wanyama walipokuwa dhaifu, hakuziweka fito hizo kwenye mitaro. Kwa hiyo sikuzote wanyama dhaifu walikuwa wa Labani, lakini wenye nguvu walikuwa wa Yakobo.+
42 Lakini wanyama walipokuwa dhaifu, hakuziweka fito hizo kwenye mitaro. Kwa hiyo sikuzote wanyama dhaifu walikuwa wa Labani, lakini wenye nguvu walikuwa wa Yakobo.+