-
Mwanzo 31:36Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
36 Ndipo Yakobo akakasirika na kuanza kumshutumu Labani. Akamuuliza Labani: “Nimefanya kosa gani, nimetenda dhambi gani hivi kwamba unanifuatia kwa bidii hivi?
-