Mwanzo 32:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndiyo maana tangu siku hiyo Waisraeli hawajazoea kula kano ya paja,* iliyo kwenye kiungio cha nyonga, kwa sababu mwanamume huyo aligusa kiungio cha nyonga ya Yakobo karibu na kano ya paja.
32 Ndiyo maana tangu siku hiyo Waisraeli hawajazoea kula kano ya paja,* iliyo kwenye kiungio cha nyonga, kwa sababu mwanamume huyo aligusa kiungio cha nyonga ya Yakobo karibu na kano ya paja.