10 Lakini Yakobo akasema: “Hapana, tafadhali nakusihi. Ikiwa nimepata kibali machoni pako, pokea zawadi yangu kutoka mkononi mwangu, kwa sababu nimekuletea ili niuone uso wako. Nami nimeona uso wako kana kwamba nimeona uso wa Mungu, kwa maana umenipokea kwa furaha.+