Mambo ya Walawi 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye kuhani ataviteketeza vitu hivyo kwenye madhabahu kama chakula* ili vifuke moshi. Ni dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto.+
11 Naye kuhani ataviteketeza vitu hivyo kwenye madhabahu kama chakula* ili vifuke moshi. Ni dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto.+