35 Ataondoa mafuta yake yote kama mafuta ya mwanakondoo dume wa dhabihu ya ushirika yanavyoondolewa, na kuhani atayateketeza kwenye madhabahu juu ya dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto;+ naye kuhani atatoa dhabihu ya kufunika dhambi ambayo mtu huyo alitenda, naye atasamehewa.+