24 Kisha Musa akawaleta wana wa Haruni na kuwapaka damu hiyo kwenye ncha za masikio yao ya kulia na kwenye vidole gumba vya mikono yao ya kulia na kwenye vidole gumba vya miguu yao ya kulia; lakini damu iliyobaki Musa aliinyunyiza pande zote za madhabahu.+