Mambo ya Walawi 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na ng’ombe dume na kondoo dume kwa ajili ya dhabihu za ushirika,+ ili muwatoe dhabihu mbele za Yehova, na pia toleo la nafaka+ lililochanganywa na mafuta, kwa sababu leo Yehova atawatokea.’”+
4 na ng’ombe dume na kondoo dume kwa ajili ya dhabihu za ushirika,+ ili muwatoe dhabihu mbele za Yehova, na pia toleo la nafaka+ lililochanganywa na mafuta, kwa sababu leo Yehova atawatokea.’”+