Mambo ya Walawi 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kuhani anapaswa kumchunguza tena siku ya saba, na ikiwa ugonjwa huo umefifia na haujaenea katika ngozi, kuhani atatangaza kwamba mtu huyo ni safi;+ kilikuwa kigaga tu. Kisha mtu huyo atafua mavazi yake na kuwa safi.
6 “Kuhani anapaswa kumchunguza tena siku ya saba, na ikiwa ugonjwa huo umefifia na haujaenea katika ngozi, kuhani atatangaza kwamba mtu huyo ni safi;+ kilikuwa kigaga tu. Kisha mtu huyo atafua mavazi yake na kuwa safi.