-
Mambo ya Walawi 13:45Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
45 Mtu mwenye ukoma anapaswa kuvaa mavazi yaliyoraruka, hapaswi kutunza nywele za kichwa chake, naye anapaswa kufunika masharubu yake na kusema hivi kwa sauti: ‘Mimi si safi, mimi si safi!’
-