Mambo ya Walawi 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuhani atatia mafuta yaliyobaki kwenye kiganja chake na kumpaka kichwani mtu anayejitakasa, naye kuhani atamtolea mtu huyo dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova.+
18 Kuhani atatia mafuta yaliyobaki kwenye kiganja chake na kumpaka kichwani mtu anayejitakasa, naye kuhani atamtolea mtu huyo dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova.+