Mambo ya Walawi 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 atatoa ndege anaoweza kupata, mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi na mwingine kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa,+ ataleta pia toleo la nafaka; na kuhani atamtolea mtu huyo anayejitakasa dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova.+
31 atatoa ndege anaoweza kupata, mmoja kwa ajili ya dhabihu ya dhambi na mwingine kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa,+ ataleta pia toleo la nafaka; na kuhani atamtolea mtu huyo anayejitakasa dhabihu ya kufunika dhambi yake mbele za Yehova.+