-
Mambo ya Walawi 14:48Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
48 “Hata hivyo, kuhani akija na kuona kwamba madoa hayajaenea baada ya nyumba hiyo kupigwa lipu tena, ataitangaza nyumba hiyo kuwa safi, kwa sababu ukoma umekwisha.
-