Mambo ya Walawi 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu anayetokwa na umajimaji+ akimgusa mtu mwingine bila kunawa mikono, ni lazima mtu aliyeguswa afue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni.
11 Mtu anayetokwa na umajimaji+ akimgusa mtu mwingine bila kunawa mikono, ni lazima mtu aliyeguswa afue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni.