Mambo ya Walawi 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mwanamume akilala na mwanamke huyo kisha damu ya hedhi imguse,+ mwanamume huyo hatakuwa safi kwa siku saba, na kitanda chochote anacholalia hakitakuwa safi. Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:24 Mnara wa Mlinzi,6/1/1989, uku. 14
24 Mwanamume akilala na mwanamke huyo kisha damu ya hedhi imguse,+ mwanamume huyo hatakuwa safi kwa siku saba, na kitanda chochote anacholalia hakitakuwa safi.