Mambo ya Walawi 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Kuhani atakayetiwa mafuta+ na kuwekwa rasmi*+ ili atumike akiwa kuhani baada ya baba yake,+ atatoa dhabihu ya kufunika dhambi na kuvaa yale mavazi matakatifu+ ya kitani.+
32 “Kuhani atakayetiwa mafuta+ na kuwekwa rasmi*+ ili atumike akiwa kuhani baada ya baba yake,+ atatoa dhabihu ya kufunika dhambi na kuvaa yale mavazi matakatifu+ ya kitani.+