Mambo ya Walawi 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Atatoa dhabihu ya kufunika dhambi kwa ajili ya mahali patakatifu,+ hema la mkutano,+ na madhabahu;+ naye atatoa dhabihu ya kufunika dhambi za makuhani na za watu wote.+
33 Atatoa dhabihu ya kufunika dhambi kwa ajili ya mahali patakatifu,+ hema la mkutano,+ na madhabahu;+ naye atatoa dhabihu ya kufunika dhambi za makuhani na za watu wote.+