Mambo ya Walawi 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mwambie hivi Haruni: ‘Mtu yeyote wa uzao wako* katika vizazi vyako vyote ambaye ana kasoro asikaribie mahali patakatifu ili kutoa mkate wa Mungu wake.
17 “Mwambie hivi Haruni: ‘Mtu yeyote wa uzao wako* katika vizazi vyako vyote ambaye ana kasoro asikaribie mahali patakatifu ili kutoa mkate wa Mungu wake.