Mambo ya Walawi 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini kuhani akimnunua mtu kwa pesa zake, mtu huyo anaweza kula vitu hivyo. Vilevile watumwa waliozaliwa katika nyumba yake wanaweza kula chakula chake.+
11 Lakini kuhani akimnunua mtu kwa pesa zake, mtu huyo anaweza kula vitu hivyo. Vilevile watumwa waliozaliwa katika nyumba yake wanaweza kula chakula chake.+