Mambo ya Walawi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Sasa ikiwa mtu ataitakasa nyumba yake ili iwe takatifu kwa Yehova, kuhani atakadiria thamani ya nyumba hiyo, iwapo ni nzuri au ni mbaya. Thamani itakayokadiriwa na kuhani ndiyo itakayokuwa bei yake.+
14 “‘Sasa ikiwa mtu ataitakasa nyumba yake ili iwe takatifu kwa Yehova, kuhani atakadiria thamani ya nyumba hiyo, iwapo ni nzuri au ni mbaya. Thamani itakayokadiriwa na kuhani ndiyo itakayokuwa bei yake.+