Hesabu 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata baba yake au mama yake au ndugu yake au dada yake akifa, hapaswi kujichafua,+ kwa sababu ishara ya kwamba yeye ni Mnadhiri kwa Mungu iko juu ya kichwa chake.
7 Hata baba yake au mama yake au ndugu yake au dada yake akifa, hapaswi kujichafua,+ kwa sababu ishara ya kwamba yeye ni Mnadhiri kwa Mungu iko juu ya kichwa chake.